RAPA BILLNAS AMKINGIA KIFUA TID ASEMA HAJAWAHI KUMUONA AKITUMIA MADAWA YA KULEVYA


Rapa Billnas kutokea Lebo ya Radar Entertainment inayomilikiwa na msanii wa Bongo Flava TID, amesema kuwa hajawahi kumuona TID akitumia Madawa ya Kulevya kama maneno yanavyoongelewa mitaani.

Akiongea katika kipindi cha The playlist cha Times Fm Jumamosi iliyopita, Rapa huyo ameshangazwa na maneno hayo ambayo amedai hajui yanatokea wapi.
“Sijui haya maneno yanatokea watu, ni vitu ambavyo watu wanatumia kwa siri sana ila mimi sijawahi kumuona TID akitumia, na tunasafiri kila kwenda sehemu kibao hata dalili za mtu anayetumia madawa ya kulevya sijawahi kuziona kwa TID.
RAPA BILLNAS AMKINGIA KIFUA TID ASEMA HAJAWAHI KUMUONA AKITUMIA MADAWA YA KULEVYA RAPA BILLNAS AMKINGIA KIFUA TID ASEMA HAJAWAHI KUMUONA AKITUMIA MADAWA YA KULEVYA Reviewed by The Choice on 7:48:00 AM Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.