Mwanamuziki Dela akanusha kuwa na beef kati yake na AY, Ni baada ya kutoonekana kwenye video ya Asante
Dela ameeleza sababu ya kutokuwepo kwenye video hiyo nikutokana na ratiba yake kuingiliana na ratiba ya uandaaji wa video hiyo kwakuwa hakuwepo njchini Kenya wakati AY alikuwa nchini humo, lakini yeye na AY hawana tofauti yoyote bali ni marafiki wazur
Mwanamuziki Dela akanusha kuwa na beef kati yake na AY, Ni baada ya kutoonekana kwenye video ya Asante
Reviewed by The Choice
on
9:25:00 PM
Rating:
No comments: