Director Nisher; Nini Kimepoteza Umaarufu Wa Kazi Zake.
Mambo yalivyo sasa: Nisher huna fans yaan umebaki kama gofu, watu wanamuamini Hanscana, Khalfan, na Joowzey wanakuacha wewe, nimepita jana Youtube Video yako ya mwisho ina viewers elfu 12, nini tatizo? Ndo kusema baba ako (Geordavie) hapendi unachofanya? ulilewa sifa ulipokuwa on top? au ndo Hanscana na Khalfan wamekufunga kwenye chupa?
Director Nisher; Nini Kimepoteza Umaarufu Wa Kazi Zake.
Reviewed by The Choice
on
10:54:00 PM
Rating:

No comments: