Tundaman Adaiwa Kudanganya Kuwa Alikuwepo Kwenye Gari Lililopata Ajali na Kumuua Rafiki yake....
Kwenye mitandao kunaenea habari kuwa Mwimbaji Tunda Man hakuwa kwenye gari lililopata ajali juzi wakati wakutoka kwenye show ambapo ajali hiyo ilipoteza maisha ya rafiki wa karibu wa Tundaman.....Inasemekana Tunda Man alikuwa kwenye gari ya Noah ambayo ilikuwa imeongozana na Gari iliyopata ajali lakini baada ya ajali Tunda akajifanya na yeye alikuwepo ndani ya gari hiyo...
Soma hapa kinachoendelea mitandaoni:

Tundaman Adaiwa Kudanganya Kuwa Alikuwepo Kwenye Gari Lililopata Ajali na Kumuua Rafiki yake....
Reviewed by The Choice
on
2:58:00 PM
Rating:

No comments: