Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete afiwa na kaka yake

Mzee Selemani Mrisho Kikwete amefariki Leo nchini India alipokwenda 


kwenye matibabu.


Mzee Seleman ni kaka mkubwa wa mheshimiwa rais aliyepita ndugu 

Jakaya M.kikwete.


Tunapenda kutoa salam za pole na rambirambi kwa ukoo na familia ya 

Kikwete kwa hakika huu ni msiba mzito .


Innah lillah wainah iraijrajiun
source:jamiiforums
Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete afiwa na kaka yake Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete afiwa na kaka yake Reviewed by The Choice on 1:45:00 PM Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.