MWAMUZI ALIYECHEZESHA SIMBA VS YANGA, SASA KUCHEZESHA KOMBE LA DUNIA
Jonesia Rukyaa atakua mwamuzi wa akiba katika mchezo huo kati ya Misri dhidi ya Cameroon utakaochezwa jijini Cairo wikiendi ya tarehe 25,26,27 Machi, 2016.
Mwamuzi wa kati katika mchezo huo atakua ni Carolyne Wanjala (Kenya), akisaidiwa na Carolyne Kiles (Kenya), Mary Njoroge (Kenya), huku kamisaa wa mchezo huo akiwa ni Leah Annette Dabanga kutoka nchi ya Afrika ya Kati.
Imetolewa na shirikisho la soka Tanzania (TFF)
MWAMUZI ALIYECHEZESHA SIMBA VS YANGA, SASA KUCHEZESHA KOMBE LA DUNIA
Reviewed by The Choice
on
8:32:00 PM
Rating:
No comments: