ALICHO ANDIKA MASANJA MKANDAMIZAJI MALA BAADA YA KUSALIMIANA NA RAIS MAGUFULI



Ukisalimiana na mkuu wa nchi lazima ucheki pembeni kidogo, maana anaweza kuona kachunusi akadhani jipu. Kauliza nguo bei gani, nikasema tumegaiwa kanisani. Maana angeweza kusema hela umetoa wapi na risiti ya mashine ya TRA ya manunuzi iko wapi.
ALICHO ANDIKA MASANJA MKANDAMIZAJI MALA BAADA YA KUSALIMIANA NA RAIS MAGUFULI ALICHO ANDIKA MASANJA MKANDAMIZAJI MALA BAADA YA KUSALIMIANA NA RAIS MAGUFULI Reviewed by The Choice on 10:22:00 PM Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.