Ukisalimiana na mkuu wa nchi lazima ucheki pembeni kidogo, maana anaweza kuona kachunusi akadhani jipu. Kauliza nguo bei gani, nikasema tumegaiwa kanisani. Maana angeweza kusema hela umetoa wapi na risiti ya mashine ya TRA ya manunuzi iko wapi.
ALICHO ANDIKA MASANJA MKANDAMIZAJI MALA BAADA YA KUSALIMIANA NA RAIS MAGUFULI
Reviewed by The Choice
on
10:22:00 PM
Rating: 5
No comments: